Wasafi Crew Give Harmonize Their Blessings As He Prepares to Exit Diamond’s Label

August 23, 2019

Diamond Platnumz manager Sallam SK has all but confirmed that Harmonize is no longer part and parcel of Wasafi Classic Baby (WCB).

Sallam says the bongo singer has tabled a formal request for the termination of his contract with the label founded by Diamond Platnumz.

Speaking in an interview on Wasafi FM, Sallam said talks have been scheduled to settle the matter. He said Wasafi management received the request with a good heart and were impressed by Harmonize’s professional approach to the whole matter.

“Harmonize kwa sasa hivi ndani ya moyo wake hayupo WCB. Lakini kimkataba bado yupo WCB. Harmonize ameshatuma barua ya maombi yaku terminate mkataba wake na yuko willing kupitia vipengele vyote vya sheria kuweza kuterminate mkataba wake. Hicho ni kitu ambacho tumependezewa nacho, ambacho yeye mwenye ameridhia na ameandika barua kuomba kikao na uongozi. Ni mtu ambaye amesimama na anafuata sharia na ameona labda imefikia wakati ameamua yeye kujiendeleza na kumove on…labda kuna vitu alikuwa anaona vinamubana na anaona akifanya pekee yake atafika mbele zaidi,” said the manager.

Sallam noted that they have given Harmonize their blessings and they will look to maintain a cordial working relationship in the future.

“Kama taasisi ya WCB tukoradhi kwa yeyote ambaye ataamua kuondoka, hatuwezi kupinga chochote maana akifuata procedure zote atakuwa na blessings hundred per cent kutoka kwa taasisi ya Wasafi and chocote ambacho anataka kushirikiana na wasafi anytime kitakuwa kiko open. Unajua unapoondoka katika Mazingira Mazuri inasaidia kuwa relationship ibakikuwa pale pale,” he explained.

Sallam said they will hold a press conference to announce Konde Boy’s official exit from WCB once all the required procedures have been completed.

“Unapokubali kuingia kwenye mkataba ni sawa umeingia kwenye ndoa. Wasafi ni taasisi huwezi kuingia tu na kutoka. Kwenye kikao tutafanya pia na hesabu ili apewe na report yake kabisa, kuwa hesabu zako ndo hizi hapa, tuone na faida zake na pia kama kuna hasara tujue. Mkataba wetu uko wazi na msanii anaaweza ku terminate any time. So Harmonize ameomba kutoka Wasafi na tutakaa naye tumuskilize vizuri na tutampa baraka zetu zote. Na tunauhakika termination yake itaenda katika njia ilio ya haki,” said Sallam.

RELATED: Harmonize Quits Diamond’s ‘Wasafi’ to Start ‘Konde Gang’

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss