Otile Brown: I’ve Been Troubled Emotionally and Mentally Since Last Year

February 18, 2020

Coast-born singer Otile Brown is the latest celebrity to go public about battling depression. In an interview with a local radio station, the ‘Aiyana’ singer revealed that he has been a troubled man over the last year.

Noting that his troubles are not about money, Otile Brown said he has been unstable mentally, physically and emotionally.

Citing the recent death of Papa Dennis, who allegedly died of suicide, Otile Brown said celebrities suffer quietly from depression because they have no one to talk to.

Vera sitaki nimzungumzie kabisa yaani lakini kile ntafahamisha watu ni kwamba depression is real. And kile watu hawajui ni kwamba for the longest time, toka mwaka jana mwanzo mimi nimekuwa mtu ambaye siko sawa. Alhamdulillah nimekuwa napiga hela mambo yanakwenda laini lakini kiakili, emotionally, physically yaani nimekuwa ni mtu ambaye sijatulia.

“Na unakuta kwamba sisi wasanii huwa hatuna watu ambao tunaweza wafungukia. Unaona kama issue iliyotokea juzi na, ‘Rest in peace’ Papa Dennis, unakuta kwamba unaweza kuwa wewe ni msanii lakini kuna vitu ambavyo vinaendelea katika maisha yako, si kifedha ama vitu kama hivyo, ila huwezi ongea maana wewe ni msani.

“Alafu kuna vile watu huwa wameshakuchukulia na sehemu ambayo watu wamekuweka tayari na unahisi kwamba huwezi ukamfuata mtu ukamuelezea shida zako. Saa zingine unataka tu mtu akushauri maana kule kuongea kunatuliza roho coz the moment unazitoa moyoni unabaki na amani. Lakini unashindwa mtu ambaye unaeza share naye hivyo vitu maana hujui umuamini nani. So kwa muda mrefu mwenzenu nimegundua kwamba niko depressed,” said Otile.

To address this, the ‘Nabayet’ singer said he sought help from experts and has since started making lifestyle changes.

I’m trying to relax, I’m trying to cleanse my body na vitu kama hivyo. Yaani kuanzia vitu navyokula just to get rid of that bad energy ili niweze kufocus maana nimekuta ndani ya mwaka mzima nimekuwa mtu ambaye siko sawa,” said Otile Brown.

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss