Rayvanny is still signed under Wasafi WCB, Diamond’s top manager Babu Tale has stated. This comes after Rayvanny on July 12, 2022, announced he had parted ways with the stable.

But according to Babu Tale, Rayvanny has yet to buy out the rights to his music from Wasafi.

Rayvanny amekuja Wasafi akiwa hana uwezo akafanya biashara na Wasafi sasa hivi ana majumba na majumba na anajiweza na amefungua record label yake ambayo ni Next Level.

“Leo hii anataka kuenda kuendalea biashara yake mwenyewe. Biashara iko wazi ana room ya kubuy out hisa yake kwetu… kununua shares. Ndicho hicho ambacho tunakisubiria kikamilike ananunua shares zake zote kwetu tunamkabidhi,” Babu Tale explained.

Tale further revealed that Wasafi no longer organizes shows for Rayvanny as he ventures out on his own.

Kama hivi tunavyomruhusu unavyomuona anafanya show mwenyewe kila kitu mwenyewe… Tunasuburia kila kitu kikikamilika anakwenda kuwa msanii independent. Kwa hio ni vitu ambavyo viko kwenye utaratibu. Rayvanny wakati huu yuko Wasafi hajaenda kusaidiwa amekwenda kufanya biashara,” the Morogoro South-East MP said.

Biashara yake imekua anakwenda kuwasaidia wengine. Kumaliza si kama taa pap, kwa sabubu catalogue zote zipo chini ya mikono ya Wasafi mpaka leo. Ukiona Rayvanny anaimba zile catalogue zote za muziki ziko chini ya mikono ya Wasafi,” Tale insisted.

Rayvanny is said to have a Tsh1 billion/Ksh50 million buy-out clause on his contract with Wasafi. He has reportedly sought the help of Tanzania’s governing body for arts and music BASATA to settle the impasse.

Meanwhile, Diamond on August 22, 2022, surprised many on social media when he celebrated Rayvanny on his birthday.

“Chui, young brother Always,” Diamond wrote on his Insta-stories.