Diamond Using Zuchu To Dim Tanasha’s Shine, Says Jamal Gaddafi

September 18, 2020

Tanasha Donna’s manager and media personality Jamal Gaddafi is reading malice in Diamond Platnumz’s working partnership with Wasafi signee Zuchu.

Speaking in an interview with Dizzim Online, Jamal claimed that the Wasafi boss has been working extra hard on Zuchu in a bid to sabotage his baby mama, Tanasha Donna.

Mondi anatumia force nyingi sana kwa Zuchu, ili amfunike mzazi mwenziwe…unaona live tu Diamond anavyo msukuma Zuchu sio kawaida…ni sababu tu ya Tanasha, kutaka kuwalinganisha hao wawili. Lakini mimi naona kibiashara ni sawa, lakini end of the day ni mzazi mwenzake, asingempa hard time,” the KTN presenter said.

Noting that he likes Zuchu’s music, Jamal further alleged that the Tanzanian songbird copied Donna’s style for her new song ‘Cheche’.

“Kwanza mimi Zuchu namkubali sana, yuko vizuri Zuchu, napenda Kazi yake, ila kitu ambacho nilipost jana ni kwamba, Kuna nyimbo ya Tanasha ambayo iliweza kuvuja ambayo inaitwa ‘Ride’ amemshirikisha Khaligraph Jones. So kuna miondoko flani hivi kaitumia Zuchu mimi nikahisi mbona kamuiga mwenzake.“Katika Wasafi watu amabo niko karibu naona ni kama Romy Jons, Richardo Momo. Na hata kumcheki mtu kama Richardo Momo si issue, lakini mimi nimeacha tu ipotelee kwenye mitandao, because it’s not that big. Mimi ni style tu nilikuwa naongelea. Style flani hivi Tee anatumianga. So hiyo si ati ni kitu kikubwa ati tutapigia hadi management,” he added.

Asked if Tanasha had complained about Zuchu, Jamal said: “Hajawahi kulalamika hata siku moja, lakini ni vitu mimi naona sio lazima hata kuambiwa, jinsi kunavyo kwenda, sio lazima eti yeye aniambie kuko hivi.”

https://www.instagram.com/p/CFONNXFAjOD/

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss