Tanzanian video vixen Amber Lulu has addressed claims that she aborted a baby fathered by Kenyan rapper Prezzo.

A source close to the controversial socialite told Tanzanian daily Ijumaa Wikienda that Lulu was knocked up by Prezzo when she stayed with him in Nairobi a while back.

The source further divulged that Lulu terminated the pregnancy before her baby bump became visible. She also did not tell Prezzo that they were expecting.

“Unajua Amber alipopata ujauzito huo nahisi alikuwa hana maelewano mazuri na Prezzo akaona amfiche kwanza kusikilizia kama wataelewana,” the source told the daily.

Responding to the claims, Amber refused to divulge any information saying that no one saw her with a baby bump.

Below are excerpts from the conversation Lulu had with Ijumaa Wikienda:

Wikienda: Vipi Amber, mbona nilisikia una ujauzito wa Prezzo?

Amber: Nani amekwambia maana ungeniona hapa na kitumbo.

Wikienda: Nasikia uliichoropoa hukutaka kero.

Amber: Kero ya nini sasa maana mimba ningebeba mimi lakini siyo yeye (Prezzo).

Wikienda: Kwa hiyo bado mko kwenye uhusiano na Prezzo?

Amber: Ndio niko naye bado na kuhusu kushika ujauzito siku si nyingi.

Wikienda: Sasa si ulipata ukatoa?

Amber: Mimi sitaki kuzungumzia hiyo habari bwana na wala sitaki uiandike.