Harmonize Responds to Ben pol’s Claims that he Slid in Anerlisa’s DMs

June 18, 2019

Bongo star Harmonize has finally responded to claims that he has “set camp” in Anerlisa Muigai’s messages on social media.

Harmonize was one of several musicians accused by Ben Pol of making advances on Anerlisa. The others included rapper Khaligraph Jones and Shetta.

Ben Pol claimed, “Wasanii wapo ninawaona Shettah. Harmonize, Khaligraph wasanii wapo nawaona kwanza blue ticks pale verified lakini sishangai kwa sababu ni msichana mrembo na ukipata nafasi ya kukaa naye kama hivi ndio unaona uzuri wake Zaidi. Zinaonekana.”

But in his response, Harmonize has categorically denied the allegations saying that Ben Pol was clout chasing to create a buzz for his new song.

“Unajua mkiwa katika mahusiono kila mtu anataka kumheshimu mwenzake kuwa usinichukulie poa, kuwa kuna mtu fulani alishawahi kunitongozanga. Kuna vitu vingine vinaongelewa vinaweza kuwa vya ukweli au sio kweli. So as a gentleman ukisikia vitu kama hivyo si vizuri kuweka kwenye public. Angeniambia tu ‘bro wife kaniambia hivi na hivi’ na mimi ningemwambia that’s not true. Hamna ukweli kwa hilo, before I was feeling bad lakini nikasema sisi binadamu. Mwanamke wa Ben Pol mimi nimemjua hata kabla hajamjua Ben, like three years ago,” said Harmonize.

The Wasafi hitmaker further noted he loves Ben Pol and that he can’t get in the way of his relationship.

“But mimi naheshimu na sisi ni binadamu sometimes tunateleza. Labda shemela wetu pia kaamua kusema ivo kumwasha bro kuwa usinichukulie poa, kuna watu bado wananifuata. Mimi sio stupid kuona watu wako kwa mahusiano serious alafu mimi namtext DM. Ben Pol is my brother and I love him so much an nimeshiriki katika kazi yake ya Why and I like him he is just humble and my role model too because mimi nimeanza kumskia Ben Pol back in the days at a time I was nobody,” said Harmonize.

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss