·

Husband of the Year!! Lulu Hassan’s Hubby Posts the Sweetest Birthday Message for News Anchor

April 26, 2016

lulu-hassanWho said Kenyan men are not romantic?! If you still harbor doubts about how romantic we can get, Lulu Hassan’s husband, Rashid Abdalla, has celebrated his news anchor wife with a well crafted and heartrending message, that is the envy of most women.
The Citizen TV screen siren celebrated her birthday on Monday April 25. Taking to social media to celebrate his wife, Rashid Abdalla wrote adoringly of his wife.
In the post, Abdalla said that meeting the TV queen was a turning point in his life. Even though the Qtv presenter could not be available to celebrate the day with Lulu Hassan, he offered his apologies and promised to be available for next year’s celebration.
This was his message:
#sisemikitu Mungu ana sababu zake nyingi mimi kunikutanishe nawe. Yarabi alikua na nia njema ndoa kuitakabalia. Muliwa akashusha baraka zake watoto kutujalia. Na leo Maulana amefanikisha mwaka mwengine kipenzi kuukumbatia. Heri njema ya siku ya kuzaliwa rafiki uliye mke wangu. Umepitia mingi mitihani ya siri na dhahiri lakini imara umesimama. Wakati mwengine nawaza mbona sikukuona mapema lakini Mola unikumbusha kila jambo kwa wakati wake. Natoa shukrani kwa kutojutia kukupenda wewe. Nakupa asante kwa kuthamini mapungufu yangu na kuyafanyia kazi. Aliyekupa jina Lulu akukosea kwani thamani yake nimeishuhudia tangu niwe nawe. Happy Birthday @loulou_hassan. Birthday ya Mwaka ujao Inshallah tutasherehekea pamoja na . Nakupenda sana mke wangu. Wewe ni kope mkonyeza nyusi zangu. Happy Birthday@loulou_hassan na ASANTE KWA KUNIWEKA MAHALI PEMA MOYONI!!
 

#sisemikitu Mungu ana sababu zake nyingi mimi kunikutanishe nawe. Yarabi alikua na nia njema ndoa kuitakabalia. Muliwa akashusha baraka zake watoto kutujalia. Na leo Maulana amefanikisha mwaka mwengine kipenzi kuukumbatia. Heri njema ya siku ya kuzaliwa rafiki uliye mke wangu. Umepitia mingi mitihani ya siri na dhahiri lakini imara umesimama. Wakati mwengine nawaza mbona sikukuona mapema lakini Mola unikumbusha kila jambo kwa wakati wake. Natoa shukrani kwa kutojutia kukupenda wewe. Nakupa asante kwa kuthamini mapungufu yangu na kuyafanyia kazi. Aliyekupa jina Lulu akukosea kwani thamani yake nimeishuhudia tangu niwe nawe. Happy Birthday @loulou_hassan. Birthday ya Mwaka ujao Inshallah tutasherehekea pamoja na ?. Nakupenda sana mke wangu. Wewe ni kope mkonyeza nyusi zangu. Happy Birthday @loulou_hassan na ASANTE KWA KUNIWEKA MAHALI PEMA MOYONI!!

A photo posted by Rashid Abdalla (@rashidyabdalla) on

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss