Diamond Platnumz has thrown his weight behind his manager Hamisa TaleTale alias Babu Tale as he begins his political career.

Babu Tale, who is eyeing the Morogoro Parliamentary seat, picked nomination papers from the Chama Cha Mapinduzi’s (CCM) offices on Wednesday ahead of the Tanzania general elections in October.

This saw Diamond send Babu Tale a message on social media giving him a vote of confidence. The hitmaker said he has no doubt that Babu Tale will do good for the people of Morogoro and assured him of his support and that of the WCB Family.

“Babu Tale, sina Mshaka juu ya Uongozi wako, kwasababu naamini kama uliweza kuniongoza mimi / Wasafi na Wasanii Mbalimbali walotutangulia na wote kufanya vyema tena kwa kiwango kikubwa, basi naamini Kupitia wewe Morogoro vijinini Kusini Mashariki itakuwa salama Mikononi mwako na nami pamoja na Familia nzima ya Wasafi tuko Nyuma yako kuhakikisha kuwa tunakusaidia kwa hali na mali kuleta Maendeleo Morogoro Vijijini kusini Mashariki na kwa pamoja kumsaidia Mh raisi Dr. John Pombe Magufuli kuijenga Tanzania ya sasa,” wrote Diamond Platnumz.

Diamond with Managers Babu Tale, Sallam SK, and Mkubwa Fella

Diamond’s other manager, Sallam SK, also took to social media to hail Tale’s leadership skills.

“Kuna kutaka Uongozi na Uongozi kutaka mtu…!! Kwa upande wako wote tunafahamu kuwa Uongozi unakuhitaji wewe Bw. Hamisi Shabani Taletale, Hekima yako kwenye utendaji, usuluhishaji, ufanikishaji na maamuzi ya msingi ni silaha tosha tunayojivunia tunaofanya kazi na wewe. Na uhakika wana Morogoro Kusini Mashariki watakuwa salama kwenye Hekima zako. #TaleAnatosha,” he wrote.

WCB hitmaker Lava Lava was also not left behind. He wrote: “Ninaimani Kubwa Sana Nawewe Boss Wangu @babutale. Hakika Tunaenda Kuiona Morogoro Vijijini Mpya Kupitia Wewe Serikal Ya Awamu Yatano Inataka Watu Wachapakazi Nawewe Nimmoja Wao MUNGU akuongoze Naakupe kila Hitaji Lamoyo Wako Ccm Hoyeeeeeee!!!!!”