The Tanzanian entertainment scene has been hit with two cases of Covid-19 via veteran rapper Mwana FA and Diamond’s manager, Sallam SK.

Taking to social media, Mwana FA said he has been in self-quarantine for the past few days after testing positive for Coronavirus following his recent trip to South Africa.

“Ndugu. Majibu ya vipimo vyangu vya Covid 19 yamerudi chanya. Inaudhi. Siumwi KABISA. Nipo sawa 100%. Na nimejitenga toka niliporudi ili kuepuka kuathiri wengine. Na kwa bahati hata watoto wangu sijakutana nao kabisa. Hawapo nyumbani. Nawaomba tu tuchukue tahadhari kwa kadri ya uwezo wetu kukwepa usitupate na hata tukipatwa nao sio tatizo la kivile hata, virusi wale wanaondoka wenyewe baada ya siku kadhaa tu. So yah, sisi wa nchi hizi tulioandamwa na migonjwa mikubwa mikubwa katika kukua kwetu, haya ‘mafua’ wala sio kitu cha kututisha. ITAKUWA TU SAWA. Tuweni na amani tu mioyoni,” said Mwana FA.

Mwana FA’s announcement came hours after Sallam K confirmed testing positive for the disease. The two were the two new cases of Coronavirus announced by the Tanzanian government on Thursday.

In his post, Sallam said he was recovering well and called on everyone to stay safe.

“HABARI…!! Napenda kuwajulisha na kuwatoa hofu ndugu, jamaa na marafiki kuwa nimepata majibu ya vipimo na nimeonekana nikiwa na Corona Virus, kwa sasa nipo chini ya uwangalizi mzuri na afya yangu inaendelea vizuri, pia niishukuru serikali kwa maandalizi mazuri na huduma nayopata wodini, Kwenye kituo toka juzi nipo peke yangu kama nimekikodisha vile ?, wahudumu wanaushirikiano mzuri Mungu awalinde na awape afya njema maana wamejitolea nafasi zao kutupatia huduma sisi waathirika, hili janga la kimataifa linakwepeka kama tutafuata ushauri nasaha kutoka kwenye Wizara husika, naomba kwa wote tuwe salama na familia zetu, tuchukue tahadhari mapema. Be Strong and Be Safe Everyone out there #AllahBlessUsAll”