The newest rumor in town has it that Diamond Platnumz is back together with his Tanzanian baby mama, Hamisa Mobetto.

Speaking to Dizzim TV, Diamond’s sister, Esma rubbished the allegations maintaining that the Bongo star is still together with his Kenyan baby mama, Tanasha Donna.

“Watu wanasema kuwa Hamisa wamerudiana na Diamond lakini si ukweli yaani huo ni uwongo na pia ni uchonganishi. Halafu mi sipendi kitu kama hicho unajua mtu kuanza kuongea kitu ambacho sicho. Yaani watu lazima waongee,” she said.

Esma urged Tanasha to focus on her life, her relationship and her music career – and turn a cold shoulder on the ongoing rumors.

Namsihi Tanasha aendelee tu na mapenzi yake awe comfortable kabisa aenjoy mapenzi yake na hamna kitu chochote kinaendelea mimi na Hamisa tunaongea na hata tukiongea ni business, mteja so tunasupportiana,” said Esma.

Adding: “Watu walianza kuongea kabla Tanasha hajazaa walisema wewe ukishazaa utaachika. Kwa hayo ni maneno yao kwa akili zao na fikra zao sababu wao hawana kazi ya kufanya. Ni watu amabo wamekaa kwa ajili ya kuchamgamsha Insta zao.