Bahati’s baby mama Yvette Obura reckons it’s only right that the gospel singer buys her and their daughter Mueni Bahati a car and a house.

In an episode of the celebrity singer’s reality tv show, Ms Obura said she is tired of having to hire cabs to drop Mueni to school every morning. Noting that Bahati has ‘made it’ and can afford it, Ms Obura also demanded a house after storming Bahati’s office.

How have you been!? Naona unacheza PS tu kwa Ofisi, enyewe wewe umemake it. Alafu sasa unanibuyia gari lini? Juu strory ya cab imenichosha kabisa. Nataka gari ya kubeba Mueni. So gari ukibuyia Mueni mimi ndo nitaendesha. Utanunua ama hutanunua? Juu huku naona kuna tatu na naona hata hiyo Van. 2020 lazima niendeshe gari,” said Obura.

She continued: “Hata tuwachane na story ya gari, sasa nyumba unatununulia lini? Nyumba ya mtoto wako na najua unaweza afford. Leo ni leo sitaki kujua kama camera ziko ama haziko lazima needs zangu zikuwe fulfilled. Hata think of it, hiyo nyumba yako wakati ulikuwa unabuyiana, haikuwa supposed to be under my name ama under Mueni’s name. Imagine tunaendanga kila mahali na Taxi.”

Bahati responded: “Kwani naenda nikinunulia watu gari Kenya? Gari ya nini kwanza na Mueni namlipia Taxi. Kwani unabuyiiwa gari juu huku ziko”

This comes after Bahati claimed he was forcd to block Yvette Obura on social media because she was spreading stories to bloggers.

“Haujui mbona nilikublock? Sasa kama mtu hajui mbona nilimblock si hakuna haja ya hii meeting. Kama Yvette naamka leo tuko sawa, kidogo watu wametuona kwa Bahati Reality usiku, asubuhi najipata niko Mpasho. Kuna saa Yvette ameniweka kwa blogs sana for no good reason hadi nikaanza kudhani anafanya kazi huko. Sasa utafanya aje ndio usione huyu mtu, si unamblock. Mimi naongeanga na shosho yake. I’ll do anything to make sure my daughter gets the best life that I never had… Siku ya Father’s Day for example ameamka ameambia mtoto oh ‘Hi my daughter, happy Father’s Day to me because I’m your father’ sasa mimi nimekaa kwa hii meeting kama uncle ama relative?” said Bahati.