Lady Jay Dee Reveals Reasons Behind Dumping Husband

February 19, 2015

jay deeLady Jay Dee has given a painful recollection of the reasons she had to call it quits on her marriage.
Speaking to East Africa radio, the Yahaya singer revealed that her husband, Gardner Habash was a serial ‘cheater’. To make matters worse, Gardner would get touchy with his lady friends even in her presence.
She was ultimately fed up of Gardner’s misdemeanor and decided to call it quits.
Here is what she said.

Hatuja achana niliamua kumuacha.Nimemuacha kutokana na kuwa Ndoa inatakiwa iwe na maelewano,furaha,amani na upendo.ila kwa bahati mbaya vyote hivyo havikuwepo,sikuwa tayari kuendelea kuishi kwa maumivu huku niki pretend ili kuiridhisha jamii.sioni kujishushia heshima,ila naona nilikuwa najishushia heshima zaidi kuishi na mume asie na heshima,anaeweza kutongoza na kushika wanawake makalio wakati mi niko jukwaani naimba.
Kuwapa mademu magari yangu waendeshe na kuyagonga wakati niko safarini. Ukiachilia mbali vipigo.Kutembea na wahudumu wa restaurant yangu.Ushahidi ninao. …..niliwahi mkuta anawashika mapaja na akakiri kosa. bado kupigana na kuwatusi wateja pia.Kifupi ilikuwa ni ndoa ya mateso.

Leave a Reply

Your email address will not be published.



Don't Miss